Pata taarifa kuu
Gurudumu la Uchumi

SmartAfrica: Matumizi salama ya mtandao kwa maendeleo - Sehemu ya Pili

Imechapishwa:

Msikilizaji mataifa mengi ya Afrika, sasa hivi yanafanya juhudi kuhakikisha raia wake wanaunganishwa na huduma ya internet, kama moja ya harakati za kuchochea maendeleo kupitia teknolojia.Lakini kwa wananchi kuunganishwa na huduma hiyo ni jambo moja, changamoto iliyoko sasa hivi kwa nchi nyingi za Afrika ni kukosekana kwa miundombinu sahihi  kuwezesha hilo.

Mtangazaji Emmanuel Makundi, akifanya mahojiano na David Karunda, kutoka taasisi ya Digital Impact Alliance, alipokuwa nchini Zimbabwe kuhudhuria mkutano wa Smart Africa
Mtangazaji Emmanuel Makundi, akifanya mahojiano na David Karunda, kutoka taasisi ya Digital Impact Alliance, alipokuwa nchini Zimbabwe kuhudhuria mkutano wa Smart Africa © RFI Kiswahili
Matangazo ya kibiashara

Mtangazaji Emmanuel Makundi, akifanya mahojiano na David Karunda, kutoka taasisi ya Digital Impact Alliance, alipokuwa nchini Zimbabwe kuhudhuria mkutano wa Smart Africa

Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.