Pata taarifa kuu
Gurudumu la Uchumi

Smart Afrika:Matumizi salama ya mtandao kwa maendeleo - Sehemu ya Kwanza

Imechapishwa:

Matumizi salama ya mtandao kwa maendeleo, ni moja ya ajenda iliyojadiliwa kwa kina katika mkutano wa juma lililopita nchini Zimbabwe, kuhusu namna bara la Afrika linaweza kutumia teknolojia ya habari na mawasiliano, TEHAMA, kubadili uchumi wake na kurahisisha upatikanaji wa huduma za msingi kwa wananchi wa bara hilo kama vile afya na kilimo.

Mtangazaji Emmanuel Makundi, akizungumza na mbunge wa viti maalumu nchini Tanzania, Neema Lugangira, alipokuwa nchini Zimbabwe.
Mtangazaji Emmanuel Makundi, akizungumza na mbunge wa viti maalumu nchini Tanzania, Neema Lugangira, alipokuwa nchini Zimbabwe. © RFI Kiswahili
Matangazo ya kibiashara

Mtangazaji amezungumza na mbunge wa viti maalumu nchini Tanzania, Neema Lugangira, alipokuwa nchini Zimbabwe.

Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.