Pata taarifa kuu
Gurudumu la Uchumi

Ripoti ya Oxfam kuhusu hali ya umasikini duniani

Imechapishwa:

Msikilizaji wakati mkutano wa kimataifa wa Jukwaa la Uchumi duniani World Economic Forum, ukiendelea kwenye mji wa Davos, Uswis, shirika la kimataifa linalopambana na umasikini, Oxfam, linasema kwenye ripoti yake kuwa, tunaishi katika nyakati ngumu zenye kushuhudia mizozo tofauti, mamia ya watu wanakabiliwa na njaa, kupanda kwa gharama za maisha, na kwamba umasikini umasikini umeongezeka kwa kiwango cha juu katika kipindi cha miaka 25.

Jina la ripoti mpya iliyochapishwa na Oxfam kuhusu hali ya umasikini duniani na ombwe kati ya walionacho na wasionacho.
Jina la ripoti mpya iliyochapishwa na Oxfam kuhusu hali ya umasikini duniani na ombwe kati ya walionacho na wasionacho. © Oxfam
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.