Gurudumu la Uchumi
Biashara na watu wanaoishi na ulemavu mpakani mwa DRC na Rwanda
Imechapishwa:
Cheza - 10:01
Makala ya Gurudumu la Uchumi wiki hii inaangazia namna watu wenye ulemavu kwenye mpaka wa nchi ya DRC na Rwanda wanavyofanya biashara, hasa wakati huu mipaka ya nchi hizo ikiwa imefunguliwa pamoja na nchi ya DRC kuwa mwanachama mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.Mwandishi wetu wa Kigali, Christopher Karenzi, ameshirikiana na Emmanuel Makundi.