Pata taarifa kuu
Gurudumu la Uchumi

Kinachotarajiwa baada ya nchi ya DRC kuwa mwanachama mpya wa EAC

Imechapishwa:

Makala ya Gurudulu la Uchumi, juma hili inaangazia hatua na matarajio ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, hasa baada ya nchi ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kuingizwa rasmi kama mwanachama mpya wa 7 wa Jumuiya hiyo, nini matarajio ya nchi wanachama na raia? Hili ndilo mtayarishaji anaenda kulitazama hivi leo.

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, akimuonesha ramani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, rais wa DRC, Felix Tshisekedi, wakati wa sherehe za utiaji saini kuiingiza DRC kama mwanachama mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, jijini Nairobi. Tarehe 8 Aprili 2022
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, akimuonesha ramani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, rais wa DRC, Felix Tshisekedi, wakati wa sherehe za utiaji saini kuiingiza DRC kama mwanachama mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, jijini Nairobi. Tarehe 8 Aprili 2022 AFP - TONY KARUMBA
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.