Gurudumu la Uchumi
Kenya na mkopo mpya kutoka shirika la fedha diniani IMF
Imechapishwa:
Cheza - 09:32
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili inaangazia hatua ya nchi ya Kenya kwenda kuomba mkopo zaidi kutoka shirika la fedha duniani IMF. Hatua ambayo imesababisha wananchi kuhoji kuhusu nchi yao kuendelea kukopa.Mtayarishaji wa makala haya amezungumza na Bennedict Mahona, mtaalamu wa masuala ya uchumi na fedha akiwa Dar es Salaam, Tanzania.