15h36 - 16h00 GMT
Mechi za kombe la dunia kuanza wikendi hii nchini Quatar.
Imechapishwa:
Cheza - 10:04
Mechi za kombe la dunia zinang’oa nanga wikendi hii nchini Quatar huku kwa Afrika macho yakiwa ni kwa wawakilishi wao watano.Wewe unaishabikia timu ipi? Na unaipa asilimia ngapi kushinda?