05h36 - 06h00 GMT
Kuuawa kwa balozi wa Italia nchini DRC, mchakato wa BBI, uchaguzi wa Ghana na mengineyo
Imechapishwa:
Cheza - 20:15
Jumatatu ya february 22 balozi wa Italia nchini Jamhuri ya Demokrasia ya Congo, Luca Attanasio, ameuawa, baada ya msafara wao kushambuliwa,nje kidogo na mji wa Goma,mkowani Kivu kaskazini mashariki mwa DRC,mchakato wa kura ya maoni kuhusu mabadiliko ya katiba, nchini Ghana mgombea wa chama tawala ashinda uchaguzi, na kimataifa rais Joe Biden asema Canada ni nchi rafiki wa damu