Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Kiongozi wa Upinzani Nchini Rwanda Ingabire Umuhoza kukata rufaa kupinga adhabu ya miaka 8

Imechapishwa:

Makala ya Habari Rafiki inatoa fursa kwa wasikilizaji kueleza mitazamo yao juu ya hukumu ya kifungo cha miaka 8 jela iliyotolewa dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Upinzani nchini Rwanda Victoire Ingabire Umuhoza ambaye alikutwa na hatia ya kutenda kosa la uhaini, huku Wakili wake Ian Edwards akisema watakata rufaa kupinga adhabu aliyopewa mteja wake.

Kiongozi wa Upinzani nchini Rwanda Victoire Ingabire akiwa na Wakili wake Ian Edwards wakiwa Mahakamani
Kiongozi wa Upinzani nchini Rwanda Victoire Ingabire akiwa na Wakili wake Ian Edwards wakiwa Mahakamani AFP PHOTO/Steve Terrill
Vipindi vingine
  • 10:00
  • 10:13
  • 10:00
  • 09:51
  • 09:52
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.