Tunaangazia kinachotokea nchini Uganda baada ya kukamatwa na kupigwa kwa wanasiasa wa upinzani wakiongozwa na Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, baada ya machafuko ya kisiasa wiki moja iliyopita mjini Arua, Kaskazini mwa nchi hiyo wakati msafara wa rais Yoweri Museveni ulivyoshambuliwa.