Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Mvua za juu ya Wastani zitokanazo na Mabadiliko ya Tabia Nchi
Imechapishwa:
Cheza - 10:22
Nchi za Afrika Mashariki ni miongoni mwa nchi Barani Afrika amabazo zilizoathirika zaidi na mabadiliko ya tabianchi. Utafiti wa hivi karibuni umebaini kuwa mabadiliko ta tabia nchini kwa kiasi kikubwa kumechangia Mvua zinazoendelea kunyesha katika nchi nyingi katika ukanda wa Afria mashariki na kati.mvua hizi zimekuwa zikisababisha madhara makubwa katika mazingiraMakala ya Mazingira Leo Dunia Yako kesho inagazia ni jinsi gani naama nchi ya Tanzania inavyo kabiliana na mvua za kupita wastani zitokanazo na mabadiliko ya tabia nchi.