Habari RFI-Ki
Vitendo vya unyanyasaji kwa wanaume kupigwa na wake zao vyashamiri
Imechapishwa:
Cheza - 09:54
Makala ya Habari Rafiki leo hii itakuwa ikiangazia vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia vinavyofanywa na wanawake na wanaume hususan barani Afrika.Moja ya vitendo hivyo vya unyanyasaji ni pamoja na wanaume kupigwa na wake zao ingawaje kuna taarifa kuwa wanaume wengi wanaopigwa hawatoi taarifa mahali popote kwa madai ya kuona aibu.Fuatilia makala haya na mtangazaji wako Sabina Nabigambo.............