Venezuela imejikuta katika mzozo wa kisiasa na kiuchumi, kiongozi wa upinzani Juan Guaido amejiapisha kuwa rais, huku kiongozi wa nchi hiyo Nicolas Maduro akitishia kumchukulia hatua kali. Tunajadili hili kwa kina.
Venezuela imejikuta katika mzozo wa kisiasa na kiuchumi, kiongozi wa upinzani Juan Guaido amejiapisha kuwa rais, huku kiongozi wa nchi hiyo Nicolas Maduro akitishia kumchukulia hatua kali. Tunajadili hili kwa kina.