Libya: Watu elfu 11,000 wamefariki katika mafuriko, efu 30,000 wakikosa makaazi
Shirika la msalaba mwekundu nchini Libya, limesema idadi ya watu waliofariki katika mafuriko kwenye mji wa Derna imefikia watu elfu kumi na mmoja.
Imechapishwa: Imehaririwa: