DRC: Papa awataka vijana kukemea ukabila
Papa Francis, hivi leo aliwataka vijana jijini Kinshasa, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujenga mustakabali mzuri wa taifa lao, wao wenyewe, akiwasisitiza kukemea vitendo vya ukabila na kupinga rushwa.Kutoka Kinshasa, mwandishi wetu Freddy Tendilonge, ametutumia ripoti ifuatayo….
Imechapishwa:
Cheza - 01:47
Papa Francis anatarajiwa kuwasili nchini humo akitokea nchini Jamuhiri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambako amekuwa na ziara ya siku 3, ambapo hapo jana alifanya misa iliyoshuhudhuriwa na watu zaidi ya milioni moja jijini Kinshasa.
Kwa mujibu wa askofu wa kanisa hilo, Stephen Ameyu Martin, ibada hiyo itafanyika katika jumba la makumbusho la kiongozi wa zamani wa taifa hilo, hayati John Garanga, mjini Juba.