DRC- USALAMA
DRC: Raia 7 wameuawa katika kambi ya wakimbizi ya Savo
Raia 7 wameuawa katika shambulio jipya la waasi lililolenga kambi ya wakimbizi katika eneo la Savo, kilomita 60 kaskazini Magharibi mwa jiji la Bunia mkowani ITURI, waasi wa Codeco wakituhumiwa kuhusika ambapo miili iliyopatikana ilikuwa imekatwa mapanga.Mwandishi wetu Erickson Luhembwe, ametutumia ripoti ifuatayo…
Imechapishwa:
Cheza - 01:17