UGANDA-AFYA
Uganda imetangaza kumalizika kwa Ebola
Uganda imetangaza kumalizika kwa maambukizi ya virusi vya Ebola, vilivyozuka miezi minne iliyopita na kusababisha vifo ya watu 55. Katika kipindi hicho,jumla ya watu 143 waliambukizwa huku 87, wakipona.Kutoka jijini Kampala Mwandishi wetu, Kenneth Lukwago ametuma ripoti ifuatayo.
Imechapishwa:
Cheza - 01:43