SUDAN KUSINI- USALAMA WA WANAHABARI
CPJ yaitaka Sudan Kusini kuwaachia huru wanahabari wanaozuiliwa
Mashirika ya kutetea wanahabari nchini Sudan Kusini, yamezitaka mamlaka nchini humo kuwaachia huru waandishi 6 waliokamatwa kwa tuhuma za kusambaza video iliyomuonesha rais Salva Kiir akijikojolea. Mwandishi wetu James Shimanyula ametutumia ripoti ifutayo…
Imechapishwa:
Cheza - 01:17