UGANDA-AJALI
Uganda: Watu 10 wamekamatwa kutokana na tukio la mkanyagano usiku wa mwaka mpya
Polisi nchini Uganda, imemkamata Abbey Musinguzi, mfanyabiashara aliyekuwa ameandaa sherehe za mwaka mpya katika maduka ya Freedom City, ambapo watu 10 wamepoteza maisha baada ya kukanyagana.Polisi inasema uchunguzi bado unaendelea kubaini chanzo cha tukio hili.Mwandishi wetu wa Kampala, Kenneth Lukwago, ametutumia ripoti ifuatayo…
Imechapishwa:
Cheza - 01:35