UFRANSA- AFRIKA
Macron: Ufaransa kuendelea kutoa mchango wa kiusalama kwa Afrika
Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, amesema nchi yake itaendelea kuyasaidia mataifa ya Afrika katika masuala ya usalama, wakati huu kiongozi huyo akielekea nchini Benini baada ya kuanzia nchini Cameroon.Mwandishi wetu Ruben Lukumbuka ameangazia swala hili kwa kina……
Imechapishwa:
Cheza - 01:47