Festival Femua (Festival de la Musique Urbaine d'Anumabo) ni moja miongoni mwa tamasha linalofanyika huko nchii Cote d'Ivoire ambalo lilianzishwa na wanamuzuki wa kundi la Magic System na ambalo hufanyika mara moja kwa kila mwaka. Wakati wa msimu wa tamasha hilo, misaada mbalimbali hutolewa kwa wananchi na ni fursa kwa wapenzi wa Muziki kuhushuhudia moja kwa moja wanamuzki pendwa kuotka katika kila kona ya dunia, kumbuka mwaka 2015 mwanamuziki Papa Wemba alifatiki wakati akiwa jukwaani akitumbwiza kwenye tamasha hilo. Karibu ambatana naye Ali Bilali waweza pia kumfollow kwa instagram kwa kuandika @billy_bilali
Vipindi vingine
-
Muziki Ijumaa
Katika kipindi hiki mtangazaji wa zamu anakuchezea kibao unachokipenda kwenye redio kila siku ya Ijumaa.27/04/202410:04 -
Kwenye Makala ya Muziki hapa RFI tunakuchezea kibao unachokipenda
Florence Kiwuwa amekuchezea ombi lako kwenye makala ya wiki hii ya muziki Ijumaa.19/04/202410:40 -
Burudani ya Muziki na Jupiter Mayaka
Muziki hutoa hamasisho, elimu, burudani, husaidia kukumbuka mambo na pia huondoa msongo na kuboresha afya.18/11/202310:00 -
10:09
-
BURUDANI YA MUZIKI IJUMAA
Wiki hii Florence Kiwuwa amekuchezea muziki uliomuomba akucheze kwenye redio15/09/202310:03