Mwanamuziki Big Fizzo ni miongoni mwa wanamuziki wanaopendwa na wengi nchini Burundi, baada ya kuhamishia makaazi yake nchini Ufaransa ambako anaeshi na familia yake, amerejea nyumbani kwa ajili ya maandalizi ya album yake ambayo April 30 alifanya uzinduzi uliofana kwa kiasi kikubwa. Sikiliza Makala haya na @billy_bilali
Vipindi vingine
-
Muziki Ijumaa
Katika kipindi hiki mtangazaji wa zamu anakuchezea kibao unachokipenda kwenye redio kila siku ya Ijumaa.27/04/202410:04 -
Kwenye Makala ya Muziki hapa RFI tunakuchezea kibao unachokipenda
Florence Kiwuwa amekuchezea ombi lako kwenye makala ya wiki hii ya muziki Ijumaa.19/04/202410:40 -
Burudani ya Muziki na Jupiter Mayaka
Muziki hutoa hamasisho, elimu, burudani, husaidia kukumbuka mambo na pia huondoa msongo na kuboresha afya.18/11/202310:00 -
10:09
-
BURUDANI YA MUZIKI IJUMAA
Wiki hii Florence Kiwuwa amekuchezea muziki uliomuomba akucheze kwenye redio15/09/202310:03