Muziki Ijumaa
Trizah B mwanamuziki wa kike anaejituma kutoka nchini Kenya
Imechapishwa:
Cheza - 10:50
Makala Muziki Ijumaa juma hili tunazungumza na mwanamuziki wa kike kutoka nchini Kenya Trizah B kuangalia hatuwa alizofikia ki muziki na mipango yake ya sasa. Ambatana naye Ali Bilali kusikiliza makaka haya. Usikosi pia kumfollow @billy_bilali