Muziki Ijumaa
John Chris, mwanamuziki anaepeperusha bendera ya Burundi nchini Ubelgiji
Imechapishwa:
Cheza - 11:41
mwanamuziki wa Burundi anaepeperusha bendera ya Burundi nchini Ubelgiji John Chris bado anaendelea kuwavutia wengi wakati huu akiandaa album yake mpya. Katika makala haya na Ali Bilali John Chris anaeleza mipanga yake. usikosi kutufollow kwa instagram @billy_bilali