Rais wa Gambia Yahya Jammeh, amekataa kuondoka madarakani wakati huu Muungano wa nchi za Afrika Magharibi ECOWAS ikipanga kutumia jeshi kumwondoa Jammeh, na kuapishwa kwa mshindi Adama Barrow.Tunachambua hili.
Rais wa Gambia Yahya Jammeh, amekataa kuondoka madarakani wakati huu Muungano wa nchi za Afrika Magharibi ECOWAS ikipanga kutumia jeshi kumwondoa Jammeh, na kuapishwa kwa mshindi Adama Barrow.Tunachambua hili.