Makala haya ya Muziki Ijumaa Juma hili Ali Bilali anamleta kwenu Dety Darba ni msanii kutoka mashariki mwa DRCongo katika Mji wa Goma ambae anafanya vizuri kwa sasa katika eneo hilo, ambapo hivi karibuni alikuwa miongoni mwa wasanii waliotumbwiza na msanii nguli wa Marekani Akon katika tamasha la Amani lilifanyika katika uwanja wa ndege wa Goma mwezi Septemba iliopita.
Vipindi vingine
-
Muziki Ijumaa
Katika kipindi hiki mtangazaji wa zamu anakuchezea kibao unachokipenda kwenye redio kila siku ya Ijumaa.27/04/202410:04 -
Kwenye Makala ya Muziki hapa RFI tunakuchezea kibao unachokipenda
Florence Kiwuwa amekuchezea ombi lako kwenye makala ya wiki hii ya muziki Ijumaa.19/04/202410:40 -
Burudani ya Muziki na Jupiter Mayaka
Muziki hutoa hamasisho, elimu, burudani, husaidia kukumbuka mambo na pia huondoa msongo na kuboresha afya.18/11/202310:00 -
10:09
-
BURUDANI YA MUZIKI IJUMAA
Wiki hii Florence Kiwuwa amekuchezea muziki uliomuomba akucheze kwenye redio15/09/202310:03