Mjadala wa wiki jumatano hii tunazungumzia kuhusu mapinduzi ya nchini Mali, hatuwa ya Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi xa magharibi ECOWAS kuwatenga viongozi wa kijeshi walioendesha mapinduzi nchini Mali. Victor Abuso amezungumza na Robert Mkosamali na profesa Lari gumbe, wote wawili ni wachambuzi wa maswala ya kisiasa, fuatilia......