Mjadala wa Wiki
Ubingwa wa Zambia watoa changamoto kwa nchi nyingine barani Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 11:47
Ubingwa wa Zambia katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika ni changamoto kubwa kwa nchi nyingine barani Afrika na hususani nchi za Afrika Mashariki.Katika Mjadala wa Wiki hii Lizzy Masinga ameongoza mjadala wa wachambuzi wa masuala ya michezo wakiangazia yale yaliyochomoza katika fainali za mwaka huu huku Zambia ikiibuka kidume wa fainali hizo.Endelea kusikiliza...............