Pata taarifa kuu
Zambia

Michael Sata aapishwa kuwa rais nchini Zambia

Kiongozi wa chama cha upinzani nchini Zambia cha Patriotic Front, Michael ameapishwa kuwa rais wa Zambia baada ya kuibuka mshindi wa uchaguzu wa urais nchini Zambia

Michael Sata (g) le nouveau président de la Zambie, lors de la campagne électorale, le 16 septembre 2011.
Michael Sata (g) le nouveau président de la Zambie, lors de la campagne électorale, le 16 septembre 2011. thomas nsama / AFP
Matangazo ya kibiashara

Sata alipata asilimia 43 ya kura zilizopigwa na kumshinda Rais Rupiah Banda wa chama tawala cha MMD ambacho kimekuwa mamlakani kwa muda wa miaka 20.

Baada ya jaji mkuu wa nchini Zambia Ernest Sakala kutangaza ushindi wa Sata, zilifanyika sherehe za kuapishwa.

Kulingana na muandishi wa habari wa RFI nchini Zambia Edwin David Ndeketela, watu wawili waliuawa katika eneo linalo kaliwa na wafuasi wengi wa chama cha upinzani.

Watu walijitokeza kwa wingi katika jimbo maafuru kwa uzalishaji Shaba wa Kitwe na Ndola, wamejitokeza na kuvurumisha mawe.

Hasira hizo za wananchi zilichochezwa na hatuwa ya serikali ya kupiga marufu kutangazwa kwa matokeo.

 

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.