Zambia
Zoezi la kuhesabu kura laendelea huko Zambia
Zoezi la kuhesabu kura linaendelea na punde tutanza kuwaletea matokeo ya zoezi hilo viongozi wa Afrika hasa eneo la maziwa makuu wamepewa changamoto na waangalizi kutoka eneo la maziwa makuu kujitokeza kusaidia jamii zao na kuacha na makuu mwandishi wetu Edwin Ndeketela anatujuza zaidi kutoka zambia
Imechapishwa:
Cheza - 00:59