Jua Haki Zako
Haki za Kiuchumi zilivyojadiliwa katika mkutano wa haki za binadamu barani Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 10:13
Hivi karibuni kulifanyika mkutano wa 63 wa haki za binadamu barani Afrika ambao uliangazia mwenendo wa haki za binadamu kwa mataifa mbalimbali ya Afrika. Miongoni mwa agenda zilizojadiliwa ni haki za kiuchumi. Fredrick Nwaka amekuandalia makala haya