Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Rais Salva Kiir atangaza kamati ya mpito

Imechapishwa:

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir ameteua tume ambayo itaratibu mchakato wa kuundwa kwa serikali ya mpito ambayo baadaye itakaa madarakani kwa miaka mitatu kabla ya kufanyika uchaguzi wa kidemokrasia, je hatua hiyo itakua mwarobaini wa kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe na kuleta amani ya kudumu? Ungana na Victor Robert Wile katika makala ya Wimbi la Siasa.

Salva Kiir na Riek Machar katika picha hivi karibuni
Salva Kiir na Riek Machar katika picha hivi karibuni YONAS TADESSE / AFP
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.