Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Mgogoro wa Sudan Kusini bado kitendawili hata bada ya kusainiwa kwa mkataba

Imechapishwa:

Hali ya Sudan Kusini bado ni tete hata baada ya kusainiwa kwa makataba wa amani wa mwisho wakati huu kukiendelea kushuhudiwa mapigano katika baadhi ya maeneo nchini humo. Je suala la kupatikana kwa amani nchini Sudan Kusini linakwamishwa vipi na nani wa kulaumiwa kama mkataba mpya amani hautatekelezwa? lakini nini mustakabali wa taifa hilo changa? Makala ya Wimbi la Siasa kupitia kwa Mtayarishaji na Mtangazaji wako Victor Robert Wile inakupa picha nzima kuhusiana na Sudan Kusini.

Rais Salva Kiir na Riek Machar, 12 septembre 2018.
Rais Salva Kiir na Riek Machar, 12 septembre 2018. YONAS TADESSE / AFP
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.