Gurudumu la Uchumi
Mkutano wa wakuu wa nchi za G7 na mvutano wao na rais wa Marekani
Imechapishwa:
Cheza - 09:47
Makala haya juma hili inaangazia changamoto zilizojitokeza wakati wa mkutano wa wakuu wa nchi 7a zenye nguvu ya kiuchumi duniani waliokutana nchini Canada, ambapo walivutana pakubwa na rais wa Marekano Donald Trump aliyetangaza kuongeza tozo kwenye bidhaa za chuma na Alminium.