Gurudumu la Uchumi
Utoroshaji wa mitaji na fedha nje ya nchi, athari za kiuchumi
Imechapishwa:
Cheza - 10:03
Makala ya juma hili inaangazia athari za kiuchumi zinazosababishwa na utoroshaji wa mitaji na fedha nje ya nchi hasa kwa mataifa ya Afrika.