Gurudumu la Uchumi
Kuimarika kwa uhusiano wa kidiplomasia na kiuchumi kati ya Tanzania na Israel
Imechapishwa:
Cheza - 10:09
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili inaangazia kuanza kurejea kwa mahusiano ya kawaida ya kidiplomasia na kiuchumi kati ya nchi ya Israel na Tanzania, ambapo Tanzania imefungua rasmi ubalozi wake nchini Israel.