Gurudumu la Uchumi
Ushirikiano kati ya sekta binafsi Tanzania na Ufaransa
Imechapishwa:
Cheza - 10:02
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili imeangazia mkutano wa hivi karibuni kati ya taasisi ya wafanyabiashara wa sekta binafsi kutoka nchini Ufaransa waliofanya ziara nchini Tanzania kukutana na wenzao wa Tanzania, nini faida za mkutano na ziara hii? Fuatilia makala hay.