Gurudumu la Uchumi
Umuhimu wa Sekta binafsi barani Afrika hasa wakati huu mkataba wa biashara huria ukiwa umetiwa saini
Imechapishwa:
Cheza - 09:46
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili inaangazia umuhimu wa sekta binafsi katika maendeleo ya bara la Afrika kiuchumi na hasa baada ya hivi karibuni viongozi wa bara la Afrika kukubaliana na kutia saini mkataba wa biashara huria kwa bara hilo, wataalamu wa masuala ya uchumi wanamtazamo gani pamoja na wadau? Ungana na mtayarishaji wa makala haya.