Pata taarifa kuu
Gurudumu la Uchumi

Namna ya Kutekeleza Mipango ya Mwaka kwa Kuzingatia Bajeti Yako

Imechapishwa:

Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili imeangazia namna bora ya mtu kuzingatia bajeti katika kutekeleza malengo ambayo mtu amejiwekea kuyatimiza kwa mwaka. Mtangazaji wa makala hii amezungumza na Dr Wetengere Kitojo mtaalamu wa masuala ya uchumi kutoka Dar es Salaam.

Sehemu ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, lililoko mjini Dodoma Tanzania ambako Serikali inahamia.
Sehemu ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, lililoko mjini Dodoma Tanzania ambako Serikali inahamia. Ikulu/Tanzania
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.