Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Mjadala Kuhusu Sintofahamu ya Kisiasa nchini DRC na Ushiriki wa Kanisa Katoliki

Imechapishwa:

Makala ya Mjadala wa Wiki Juma Hili Inazungumzia Sintofahamu ya Kisiasa Nchini DRC Ambapo Juma Moja Lililopita Kanisa Katoliki Liliitisha Maandamano Ambayo Hata Hivyo Yalikabiliwa Vilivyo na Vyombo Vya Dola ambapo Watu Kadhaa Walipoteza Maisha Kwenye Maandamano Haya. Wanasiasa Kutoka chama Tawala na Wale wa Upinzani Wameshiriki Kwenye Mjadala Huu.

Polisi mjini Beni wakiwa wamemkamata mmoja wa waandamanaji hivi karibuni
Polisi mjini Beni wakiwa wamemkamata mmoja wa waandamanaji hivi karibuni REUTERS/Kenny Katombe
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.