Mjadala wa Wiki
Mjadala Kuhusu Sintofahamu ya Kisiasa nchini DRC na Ushiriki wa Kanisa Katoliki
Imechapishwa:
Cheza - 13:29
Makala ya Mjadala wa Wiki Juma Hili Inazungumzia Sintofahamu ya Kisiasa Nchini DRC Ambapo Juma Moja Lililopita Kanisa Katoliki Liliitisha Maandamano Ambayo Hata Hivyo Yalikabiliwa Vilivyo na Vyombo Vya Dola ambapo Watu Kadhaa Walipoteza Maisha Kwenye Maandamano Haya. Wanasiasa Kutoka chama Tawala na Wale wa Upinzani Wameshiriki Kwenye Mjadala Huu.