Pata taarifa kuu
Gurudumu la Uchumi

Kipindi maalumu dira ya uchumi ya Mwl Julius Nyerere kwa Tanzania na Afrika

Imechapishwa:

Juma hili kwenye makala ya uchumi tunakuletea kipindi maalumu kuhusu miaka 18 tangu kifo cha muasisi wa taifa la Tanzania Mwl Julius Kambarage Nyerere maadhimisho yatakayofanyika Octoba 14. Mtayarishaji wa makala haya anaangazia dira ya uchumi na maendeleo ya viwanda aliyokuwanayo Mwl Nyerere.

Rais wa kwanza wa Tanzania hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere.
Rais wa kwanza wa Tanzania hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere. Butiama Gallery/Govt
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.