Gurudumu la Uchumi
Afrika itumie TEHAMA kwa maendeleo na ukuaji wa uchumi
Imechapishwa:
Cheza - 08:56
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili inazungumzia kuhusu matumizi ya teknolojia ya mawasiliano kwa njia ya mtandao hasa katika matumizi ya programu za simu na tovuti kwaajili ya kufanya biashara na mawasiliano.