Wimbi la Siasa
Kenyatta achaguliwa tena Kenya upinzani wakimbilia mahakamani kupinga matokeo
Imechapishwa:
Cheza - 10:15
Uchaguzi mkuu wa Kenya ulifanyika hivi karibuni na Rais Uhuru Kenyatta kutangazwa kuwa rais mteule lakini upande wa upinzani umekimbilia mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi huo ukidai kufanyika udanganyifu. Je nini mustakabali wa nchi ya Kenya baada ya uchaguzi huo? Ungana na Victor Robert Wile katika Makala ya Wimbi la Siasa kupata undani wa mada hiyo.