Gurudumu la Uchumi
Matarajio ya kiuchumi kwa nchi za Rwanda na Kenya baada ya uchaguzi unaokuja
Imechapishwa:
Cheza - 09:29
Makala ya Gurudumu la uchumi juma hili inaangazia harakati za kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa nchini Kenya wa Agosti 8 na ule wa nchini Rwanda wa Agosti 4, nini kitarajiwe kwa viongozi wanaokuja na hali ya uchumi ya wananchi?