Gurudumu la Uchumi
Hatimaye Kenya yazindua rasmi safari za treni ya mwendo kasi kutoka Mombasa hadi Nairobi
Imechapishwa:
Cheza - 09:32
Makala ya Uchumi juma hili inaangazia hatua ya nchi ya Kenya kuzindua rasmi safari za treni ya mwendo kasi kutoka Mombasa hadi Nairobi ambapo baadae inatarajiwa kuunganisha nchi za Uganda, Burundi, Rwanda, Sudan Kusini na Ethiopia. Ujenzi wa reli hii utaisaidiaje nchi ya Kenya kiuchumi? Mtangazaji wa makala haya anazungumza na wataalamu wa masuala ya uchumi kuchambua.