Gurudumu la Uchumi
Rais Magufuli kupokea ripoti ya uchunguzi wa makontena ya mchanga wa madini
Imechapishwa:
Cheza - 08:54
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili inaangazia ripoti ya uchunguzi kuhusu makontena ya mchanga wa madini yaliyozuiliwa bandarini jijini Dar es Salaam, Tanzania, ambapo tume iliyoundwa na rais John Magufuli iliwasilisha waliyobaini kutokana na uchunguzi wao.