Pata taarifa kuu
Gurudumu la Uchumi

Rais Magufuli kupokea ripoti ya uchunguzi wa makontena ya mchanga wa madini

Imechapishwa:

Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili inaangazia ripoti ya uchunguzi kuhusu makontena ya mchanga wa madini yaliyozuiliwa bandarini jijini Dar es Salaam, Tanzania, ambapo tume iliyoundwa na rais John Magufuli iliwasilisha waliyobaini kutokana na uchunguzi wao.

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli akikagua ripoti ya tume aliyounda kuhusu mchanga wa madini.
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli akikagua ripoti ya tume aliyounda kuhusu mchanga wa madini. Ikulu/Tanzania
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.