Gurudumu la Uchumi
Hali ya uchumi wa DRC miaka 20 baada ya kuanguka kwa utawala wa Mobutu wananchi wanasemaje
Imechapishwa:
Cheza - 10:19
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili inaangazia miaka 20 baada ya kuanguka kwa utawala wa aliyekuwa rais wa DRC wakati huo ikiitwa Zaire Mobutu Sese Seko, na hii ilikuwa ni siku ambayo Desire Kabila aliipindua Serikali yake.Katika miaka hii 20 DRC inakipi cha kujivunia kiuchumi na maendeleo? Ungana na mtangazaji wa makala haya Emmanuel Makundi ambaye anazungumza na wataalamu wa masuala ya maendeleo na raia wa DRC.