Gurudumu la Uchumi
Mkutano wa kibiashara wa kwanza kati ya nchi ya Ufaransa na Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 09:36
Kwenye makala ya Gurudumu la uchumi juma hili tunaangazia mkutano wa kwanza wa kibiashara kufanyika kati ya nchi ya Ufaransa na Tanzania. Mengi yamezungumzwa kwenye mkutano huu lakini kubwa ni Tanzania kuwataka wawekezaji wasiogope kuja kuwekeza nchini Tanzania.