Gurudumu la Uchumi
Kuzuia mchanga wa madini kusafirishwa kwenda nje ya nchi, je kutainufaisha Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 10:07
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili inaangazia kwa kina hatua ya Serikali ya Tanzania, kupiga marufuku kusafirishwa nje ya nchi kwa mchanga wowote wa madini kwaajili ya kwenda kuchanjuliwa. Badala yake Serikali inasema inaandaa utaratibu kuhakikisha inaupima kujua ni kiasi gani cha madini kilichomo.Wataalamu wa masuala ya uchumi na wachimbaji wenyewe wanamtazamo gani? Ungana na mtayarishaji wa makala haya kufahamu mengi.