Gurudumu la Uchumi
Changamoto za ukuaji wa maendeleo barani Afrika, wataalamu wanasemaje
Imechapishwa:
Cheza - 09:22
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili, inaendelea kuangazia changamoto za ukuaji wa maendeleo na uchumi barani Afrika, mtayarishaji wa makala haya amezungumza na wadau wa masuala ya utafiti, ujasiriamali na uchumi, na kwa pamoja wanatathmini namna gari fursa zilizoko barani humo, zinaweza kutumiwa kukuza uchumi na maendeleo.